Genesis 15:18

18 aSiku hiyo Bwana akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri
Kijito cha Misri hapa ina maana Wadi-el-Arish kwenye mpaka wa kusini wa Yuda.
hadi mto ule mkubwa, Frati,
Copyright information for SwhNEN